FATEMA DEWJI KUWA MLEZI WA SIMBA QUEENS.

  Uongozi wa timu ya simba sports club leo umekaa kwenye kikao cha mwisho wa mwaka  kwa timu hiyo ambapo timu hiyo ilikuwa na madhumuni ya kufanya uchaguzi wa mwenyekiti wa bodi ya timu. Uongozi wa timu hiyo umemchagua FATEMA DEWJI kuwa mlezi wa timu ya simba kwa upande wa wanawake (Simba Queens)

     Pia CEO wa timu hiyo Barbara Gonzalez amesema kuwa sisi Simba tumejipanga kwa kila idara kuhakikisha tunafanya vizuri kuanzia ligi kuu, kombe la FA, na ligi ya mabigwa barani Africa.


Post a Comment