LIVERPOOL WAPEWA FUNZO NA MANCHESTER CITY LONDON.

   Timu ya Liverpool ambayo ni maarufu pia kwa jina la Majogoo wa London, wamepoteza mchezo wao muhimu dhidi ya matajiri wa London Manchester City baada ya kushushiwa

 mvua ya mabao.Timu hiyo ya Liverpool walikubali kichapo cha magoli manne kwa moja katika mchezo huo., Goli pekee la Liverpool lilifungwa na mchezaji kutoka Africa,  maarufu na hatari Zaidi duniani Mohammed Sallah kwa mkwaju wa penalty.

Post a Comment